Pages

Sunday, July 15, 2012

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Iddi na Waziri Mkuu Mizengo Pinda Wafanya Mkutano wa Kamati ya Sensa ya Kitaifa

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda na makamu wa pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Seif wakiteta katika Mkutano wa Kamati ya Sensa ya Kitaifa uliofanyika Mjini Zanzibar , Julai 14,2012.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Balozi Seif Iddi kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kamati ya Sensa ya Kitafa, Mjini Zanzibar Julai 14,2012.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Popular Posts