Pages

Tuesday, July 17, 2012

NHIF YATOA MAFUNZO KWA WATAALAMU WA AFYA WA ZAMBIA

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Emanuel Humba akizungumza na Ujumbe kutoka Zambia ambao umefika kwa lengo la kujifunza namna Mfuko huo unavyofanya kazi.
Ujumbe wa Wataalam kutoka Zambia ulioongozwa na Naibu Mkurugenzi wa Mipango na Bajeti wa Wizara ya Afya, Mubita Lubelwa.
Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Hamis Mdee akitoa maelezo ya namna NHIF inavyofanya kazi kwa ujumbe huo muda mfupi kabla ya kuanza mafunzo.
Wataalam wa Afya kutoka Nchini Zambia ,wakifuatilia mada zilizotolewa kuhusu Mifuko ya Afya hapa nchini (NHIF na CHF).
Baadhi ya Maofisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya waliojumuika na ujumbe kutoka Zambia.

Popular Posts