Pages

Tuesday, July 17, 2012

Yusuf Manji Ashinda nafasi ya mwenyekiti wa Klabu Ya Yanga Kwa Kura 1876 Sawa na 97.0%

Mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti Yusuf Manji wakati akiomba kura kwa wanachama wa Yanga kabla ya uchaguzi uliofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jana.
Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti, Clement Sanga akiomba kura kwa wanachama wa Yanga kabla ya uchaguzi uliofanyika jana kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam.
Yusuf Manji (Kulia) na Clement Sanga (Kushoto) wakiteta kabla ya uchaguzi wa klabu ya Yanga uliofanyika jana kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam jana.Picha zote na mdau Dande Francis
--
NAFASI YA MWENYEKITI WA KLABU

Yusuf Manji (kura 1876) - 97.0%
John Jembele (kura 40) - 2.6%
Edgar Chibura (kura 4) - 0.24%

NAFASI YA MAKAMU MWENYEKITI

Clement Sanga (kura 1948) - 62.6%
Yono S Kevela (kura 475) - 23%
Ayoub Nyenzi (kura 288) - 14%

NAFASI YA UJUMBE

Abdallah Bin Kleb (kura 1942)
Moses Katabaro (kura 1068)
Aaron Nyanda (kura 922)
George Manyama (kura 682)
Beda Tindwa (kura 391)
Edgar Fongo (kura 295)
Graticius Ishengoma (kura 247)
Jumanne Mwamenywa (kura 251)
Justine Baruti (610)
Lameck Nyambaya (kura 425)
Omary Ndula (kura 170)
Peter Haule (441)
Ramadhan Said (249)
Yono Kivela (123)
Kutokana na matokeo yalivyo hapo juu safu ya viongozi waliochaguliwa ni

MWENYEKITI: Yusuf Manji,
MAKAMU MWENYEKITI: Clement Sanga

WAJUMBE: Abdallah Bin Kleb, Moses Katabaro, Aaron Nyanda, Geroge Manyama

Popular Posts