Pages

Saturday, August 11, 2012

BOT : HATUJAWEKA SHUGULI/OPERESHENI ZA NBC CHINI YETU

Katika Gazeti la Business Times toleo nambari 1248 la Ijumaa, tarehe 10 Agosti 2012, ziliandikwa habari zenye kichwa cha habari chenye maana kuwa “Operesheni za NBC zawekwa chini ya usimamizi wa Benki Kuu”. Katika habari hiyo ilielezwa kuwa Benki Kuu imechukua hatua hiyo kufuatia ripoti za tuhuma kadhaa zihusuzo udhaifu katika uendeshaji wa benki na utawala bora.

Benki Kuu inapenda kuchukua fursa hii kuueleza umma kuwa haijaweka operesheni/shughuli za NBC chini yake. Benki hiyo inajiendesha yenyewe kwa kufuata utaratibu wa Sheria za Makampuni, 2002, Sheria ya Mabenki na Taasisi za Fedha 2006 na miongozo itolewayo na Benki Kuu kama zilivyo benki zingine. Wateja wa NBC na Umma kwa ujumla wanashauriwa kuendelea kufanya biashara na benki hii kama kawaida.

IMETOLEWA NA
BENKI KUU YA TANZANIA
11AUGUST 2012

KOCHA MPYA WA AFRICAN LYON ATUA

Kocha mpya wa timu ya African Lyon ya jijini Dar es Salaam, inayoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Pablo Ignacio Velez, kutoka Argentina, akizungumzi na waandishi wa habari jijini Da re Salaa leo mchana wakati wa utambulisho wake na mkataba wa kuifundisha timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu unaotarajia kuanza Septemba Mosi mwaka huu. Kocha huyo amesaini mkataba wa miaka mitatu na timu hiyo. Katikati ni Mkurugenzi wa ufundi na Biashara wa timu hiyo, Charles Otieno (kushoto) ni Meneja Mkuu na Mmiliki wa timu hiyo, Rahim Kangezi. Picha na Mafoto Reporter
**************************************************
Na Sufianimafoto, Reporter

KOCHA mpya wa timu ya soka ya African Lyon, Pablo Ignacio Velez, amewasili nchini tayari kuanza kuinoa timu hiyo na kuomba apewe muda wa kukisuka upya kikosi hicho huku akiahidi mabadiliko zaidi ya soka kwenye timu hiyo.

Pablo raia wa Argentina aliyasema hayo jana baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo na kusisitiza lengo lake kubwa ni kuhakikisha vijana wanapewa nafasi ya kuonyesha vipaji vyao na ndivyo itakavyokuwa Afrika Lyon.

"Sikuja Tanzania kutafuta pesa, ndoto yangu kubwa ilikuwa kufundisha soka barani Afrika hivyo wakati ni sasa," alisisitiza kocha anayezungumza lugha ya 'kiispanyola'.

Pablo alisema "kazi ya aina yoyote lazima ipewe muda na mchezaji lazima atengenezwe hivyo watanzania wawe na subira kwa ajili ya kupata matunda mazuri ya vijana hapo baadae kutoka African Lyon.

Kocha huyo aliyewai kuzichezea timu za taifa za vijana chini ya miaka 17 na 20 za Argentina hakusita kusisitiza suala la nidhamu kwa wachezaji wa timu hiyo ya ndani na nje ya uwanja.

"Nidhamu ni muhimu kwa wachezaji wangu cha msingi tushirikiane katika kufanikisha hili kwa vijana kwani mchezaji anatakiwa kati ya miaka 18 na 19 awe ametengeneza jina kupitia soka ," alisema Pablo.

Naye Mmiliki wa African Lyon, Rahmu Kangezi alisema lengo la kumleta kocha huyo ni kuhakikisha timu hiyo inajongea mbele zaidi.

Kangezi alisema licha ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja lakini wanaweza kumtumia Pablo kwa kipindi kirefu kulingana na mfumo wa kuhakikisha wanaendeleza vijana katika timu yao.

"Pablo ni zaidi ya kocha, ana uwezo pia amecheza mpira pia ni kocha wa kwanza kutoka Argentina kuja Tanzania hivyo tunaimani timu yetu ya African Lyon itafika mbali zaidi kisoka," alisitiza Kangezi.


Pablo mwenye miaka 38 aliyechukua mikoba iliyoachwa na Jumanne Chale amewai kuifundisha klabu ya Atletico Colo Colo De Chile (1998).

Klabu nyingine alizowahi kufundisha ni Atletico Calchin (2000), Atletico Belgrano De Cordoba (1997), Atletico River Plate (1993-1995).

Klabu nyingine ni Banco De Cordoba (1991 na 1997), Deportivo Lasallano (1992) Atletico Argentino Penarol kwa miaka minne na klabu nyingine nyingi za Hispania na Argentina.

C.V.

PABLO VELEZ.

SOCCER COACH.
PHYSICAL TRAINER.

PERSONAL DATA.
GENERAL INFORMATION PROMPTS.

NAMES: PABLO IGNACIO.

SURNAME: VELEZ.

NATIONALITY: ARGENTINEAN.

DNI: 23195057.

PLACE AND DATE OF BIRTH: CÒRDOBA, ARGENTINA. JANUARY 28, OF 1973.

AGE: 38 YEARS OLD.

DRESS: AGUADA DEL MONTE 8757. VILLA RIVERA INDARTE. ARGUELLO. CORDOBA. ARGENTINA.

PHONE NUMBER: 0351 157038916.

E-MAIL: pf.pablovelez@hotmail.com.ar

ACADEMIC FORMATION.

ELEMENTERY SCHOOL: INSTITUTO HOGAR LA INMACULADA.

HIGH SCHOOL: INSTITUTO HOGAR LA INMACULADA.

COLLEGE EDUCATION:

1) BLAS PASCAL UNIVERSITY:

COMPUTER SYSTEMS ANALYST.
PROGRAMMER ANALYST.
PC OPERATOR.

2) ASSOCIATION OF ARGENTINIAN SOCCER COACHES (A.T.F.A.) – NATIONAL SCHOOL OF TECHNICIAN Nº29 – CÒRDOBA BRANCH:

SOCCER COACH.
3) UNIVERSIDAD NACIONAL DE CÒRDOBA (UNC), FACULTAD DE CIENCIAS MEDICAS / INSTITUTO DE FISIOLOGIA HUMANA:

PHYSICAL TRAINER.
PERSONAL TRAINER.
FITNESS INSTRUCTOR.
INSTRUCTOR of techniques of adaptation: Column disorders,
Metabolic disorders (Obesity/Diabetes Type 2),
Cardiovascular Rehabilitation.

4) HECTOR GONZALES CEBALLOS KARATE SCHOOL:
KARATE INSTRUCTOR / BLACK BELT/ 1st DAN.

SPORTS ANTECEDENTS.

CLUB: ATLETICO ARGENTINO PEÑAROL.
DIVISION: 6TH, 5TH, 4TH, 3RD, AND 1ST.
PERIOD: YEARS 1987/88/90 AND 99.


CLUB: ATLETICO ROSARIO CENTRAL.
DIVISION: 4TH.
PERIOD: YEAR 1989.

CLUB: HURACAN DE LAS VARILLAS.
DIVISION: 1ST.
PERIOD: YEAR 1990.

CLUB: DEPORTIVO LASALLANO.
DIVISION: 1ST.
PERIOD: YEAR 1992.

CLUB: CLUB BANCO DE CORDOBA.
DIVISION: 1ST.
PERIOD: YEARS 1991 AND 1997.

CLUB: CLUB ATLETICO RIVER PLATE.
DIVISION: 3RD AND 1ST.
PERIOD: YEARS 1993 / 94 / 95.

CLUB: CLUB ATLETICO BELGRANO DE CORDOBA.
DIVISION: 1ST
PERIOD: YEAR 1997

CLUB: ATLETICO COLO COLO DE CHILE.
DIVISION: 1ST.
PERIOD: YEAR 1998.

CLUB: ATLETICO CALCHIN.
DIVISION: 1ST.
PERIOD: YEAR 2000.

PROFESSIONAL WORK EXPERIENCE IN CLUBS.

CLUB: BANCO DE CORDOBA.

POSITION: SOCCER COACH OF 4TH, 5TH AND 6TH DIVISION.
ASSISTANT COACH OF 1ST DIVISION.
GOALKEEPERS COACH.
PERIOD: YEAR 2006.

CLUB: BANCO DE CORDOBA.

POSITION: SPORTS COORDINATOR,
SOCCER COACH OF 1ST DIVISION.
GOALKEEPERS COACH.
PERIOD: YEAR 2007.

CLUB: CLUB ATLETICO ARGENTINO PEÑAROL.

POSITION: SPORTS COORDINATOR,
PHYSICAL TRAINING COORDINATOR,
PHYSICAL TRAINING OF 1ST DIVISION,
ASSISTANT COACH OF 1ST DIVISION.
GOALKEEPERS COACH.

PERIOD: YEAR 2008 AND 2009.


CLUB: CLUB ATLETICO ARGENTINO PEÑAROL.

POSITION: PHYSICAL TRAINING OF 1ST DIVISION.
ASSISTANT COACH OF 1ST DIVISION. ( OF COACH JOSE MARIA SUAREZ : EX SOCCER PLAYER OF CLUB ATLETICO BOCA JUNIORS, BELGRANO, SELECCIÓN ARGENTINA) .
(SPORTING ACHIEVEMENTS : CHAMPION WITH BOCA JUNIORS OF THE LOCAL TOURNAMENT , COPA LIBERTADORES TWICE, AND COPA INTERCONTINENTAL),
GOALKEEPERS COACH..

PERIOD: YEAR 2009 AND 2010.

SPORTING ACHIEVEMENTS.

TORNEO PROVINCIAL DE FUTBOL 2009 (WITH ARGENTINO PEÑAROL):

3RD POSITION.

SPECIAL MENTION OF THE FEDERACION CORDOBESA DE FÙTBOL AS BEST PHYSICAL TRAINING OF CÒRDOBA.

TORNEO PROVINCIAL DE FUTBOL 2010 (CON ARGENTINO PEÑAROL):

3RD POSITION.

- SPECIAL MENTION OF THE FEDERACION CORDOBESA DE FÙTBOL AS BEST PHYSICAL TRAINING OF CÒRDOBA.

SPECIAL CONSIDERATIONS.

SPECIAL NOTE: My technical team is currently composed of JoSÈ Marìa Suarez, who Serves as my ASSISTANT COACH now

KOCHA MPYA WA AFRICAN LYON ATUA

Kocha mpya wa timu ya African Lyon ya jijini Dar es Salaam, inayoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Pablo Ignacio Velez, kutoka Argentina, akizungumzi na waandishi wa habari jijini Da re Salaa leo mchana wakati wa utambulisho wake na mkataba wa kuifundisha timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu unaotarajia kuanza Septemba Mosi mwaka huu. Kocha huyo amesaini mkataba wa miaka mitatu na timu hiyo. Katikati ni Mkurugenzi wa ufundi na Biashara wa timu hiyo, Charles Otieno (kushoto) ni Meneja Mkuu na Mmiliki wa timu hiyo, Rahim Kangezi. Picha na Mafoto Reporter
**************************************************
Na Sufianimafoto, Reporter

KOCHA mpya wa timu ya soka ya African Lyon, Pablo Ignacio Velez, amewasili nchini tayari kuanza kuinoa timu hiyo na kuomba apewe muda wa kukisuka upya kikosi hicho huku akiahidi mabadiliko zaidi ya soka kwenye timu hiyo.

Pablo raia wa Argentina aliyasema hayo jana baada ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo na kusisitiza lengo lake kubwa ni kuhakikisha vijana wanapewa nafasi ya kuonyesha vipaji vyao na ndivyo itakavyokuwa Afrika Lyon.

"Sikuja Tanzania kutafuta pesa, ndoto yangu kubwa ilikuwa kufundisha soka barani Afrika hivyo wakati ni sasa," alisisitiza kocha anayezungumza lugha ya 'kiispanyola'.

Pablo alisema "kazi ya aina yoyote lazima ipewe muda na mchezaji lazima atengenezwe hivyo watanzania wawe na subira kwa ajili ya kupata matunda mazuri ya vijana hapo baadae kutoka African Lyon.

Kocha huyo aliyewai kuzichezea timu za taifa za vijana chini ya miaka 17 na 20 za Argentina hakusita kusisitiza suala la nidhamu kwa wachezaji wa timu hiyo ya ndani na nje ya uwanja.

"Nidhamu ni muhimu kwa wachezaji wangu cha msingi tushirikiane katika kufanikisha hili kwa vijana kwani mchezaji anatakiwa kati ya miaka 18 na 19 awe ametengeneza jina kupitia soka ," alisema Pablo.

Naye Mmiliki wa African Lyon, Rahmu Kangezi alisema lengo la kumleta kocha huyo ni kuhakikisha timu hiyo inajongea mbele zaidi.

Kangezi alisema licha ya kusaini mkataba wa mwaka mmoja lakini wanaweza kumtumia Pablo kwa kipindi kirefu kulingana na mfumo wa kuhakikisha wanaendeleza vijana katika timu yao.

"Pablo ni zaidi ya kocha, ana uwezo pia amecheza mpira pia ni kocha wa kwanza kutoka Argentina kuja Tanzania hivyo tunaimani timu yetu ya African Lyon itafika mbali zaidi kisoka," alisitiza Kangezi.


Pablo mwenye miaka 38 aliyechukua mikoba iliyoachwa na Jumanne Chale amewai kuifundisha klabu ya Atletico Colo Colo De Chile (1998).

Klabu nyingine alizowahi kufundisha ni Atletico Calchin (2000), Atletico Belgrano De Cordoba (1997), Atletico River Plate (1993-1995).

Klabu nyingine ni Banco De Cordoba (1991 na 1997), Deportivo Lasallano (1992) Atletico Argentino Penarol kwa miaka minne na klabu nyingine nyingi za Hispania na Argentina.

C.V.

PABLO VELEZ.

SOCCER COACH.
PHYSICAL TRAINER.

PERSONAL DATA.
GENERAL INFORMATION PROMPTS.

NAMES: PABLO IGNACIO.

SURNAME: VELEZ.

NATIONALITY: ARGENTINEAN.

DNI: 23195057.

PLACE AND DATE OF BIRTH: CÒRDOBA, ARGENTINA. JANUARY 28, OF 1973.

AGE: 38 YEARS OLD.

DRESS: AGUADA DEL MONTE 8757. VILLA RIVERA INDARTE. ARGUELLO. CORDOBA. ARGENTINA.

PHONE NUMBER: 0351 157038916.

E-MAIL: pf.pablovelez@hotmail.com.ar

ACADEMIC FORMATION.

ELEMENTERY SCHOOL: INSTITUTO HOGAR LA INMACULADA.

HIGH SCHOOL: INSTITUTO HOGAR LA INMACULADA.

COLLEGE EDUCATION:

1) BLAS PASCAL UNIVERSITY:

COMPUTER SYSTEMS ANALYST.
PROGRAMMER ANALYST.
PC OPERATOR.

2) ASSOCIATION OF ARGENTINIAN SOCCER COACHES (A.T.F.A.) – NATIONAL SCHOOL OF TECHNICIAN Nº29 – CÒRDOBA BRANCH:

SOCCER COACH.
3) UNIVERSIDAD NACIONAL DE CÒRDOBA (UNC), FACULTAD DE CIENCIAS MEDICAS / INSTITUTO DE FISIOLOGIA HUMANA:

PHYSICAL TRAINER.
PERSONAL TRAINER.
FITNESS INSTRUCTOR.
INSTRUCTOR of techniques of adaptation: Column disorders,
Metabolic disorders (Obesity/Diabetes Type 2),
Cardiovascular Rehabilitation.

4) HECTOR GONZALES CEBALLOS KARATE SCHOOL:
KARATE INSTRUCTOR / BLACK BELT/ 1st DAN.

SPORTS ANTECEDENTS.

CLUB: ATLETICO ARGENTINO PEÑAROL.
DIVISION: 6TH, 5TH, 4TH, 3RD, AND 1ST.
PERIOD: YEARS 1987/88/90 AND 99.


CLUB: ATLETICO ROSARIO CENTRAL.
DIVISION: 4TH.
PERIOD: YEAR 1989.

CLUB: HURACAN DE LAS VARILLAS.
DIVISION: 1ST.
PERIOD: YEAR 1990.

CLUB: DEPORTIVO LASALLANO.
DIVISION: 1ST.
PERIOD: YEAR 1992.

CLUB: CLUB BANCO DE CORDOBA.
DIVISION: 1ST.
PERIOD: YEARS 1991 AND 1997.

CLUB: CLUB ATLETICO RIVER PLATE.
DIVISION: 3RD AND 1ST.
PERIOD: YEARS 1993 / 94 / 95.

CLUB: CLUB ATLETICO BELGRANO DE CORDOBA.
DIVISION: 1ST
PERIOD: YEAR 1997

CLUB: ATLETICO COLO COLO DE CHILE.
DIVISION: 1ST.
PERIOD: YEAR 1998.

CLUB: ATLETICO CALCHIN.
DIVISION: 1ST.
PERIOD: YEAR 2000.

PROFESSIONAL WORK EXPERIENCE IN CLUBS.

CLUB: BANCO DE CORDOBA.

POSITION: SOCCER COACH OF 4TH, 5TH AND 6TH DIVISION.
ASSISTANT COACH OF 1ST DIVISION.
GOALKEEPERS COACH.
PERIOD: YEAR 2006.

CLUB: BANCO DE CORDOBA.

POSITION: SPORTS COORDINATOR,
SOCCER COACH OF 1ST DIVISION.
GOALKEEPERS COACH.
PERIOD: YEAR 2007.

CLUB: CLUB ATLETICO ARGENTINO PEÑAROL.

POSITION: SPORTS COORDINATOR,
PHYSICAL TRAINING COORDINATOR,
PHYSICAL TRAINING OF 1ST DIVISION,
ASSISTANT COACH OF 1ST DIVISION.
GOALKEEPERS COACH.

PERIOD: YEAR 2008 AND 2009.


CLUB: CLUB ATLETICO ARGENTINO PEÑAROL.

POSITION: PHYSICAL TRAINING OF 1ST DIVISION.
ASSISTANT COACH OF 1ST DIVISION. ( OF COACH JOSE MARIA SUAREZ : EX SOCCER PLAYER OF CLUB ATLETICO BOCA JUNIORS, BELGRANO, SELECCIÓN ARGENTINA) .
(SPORTING ACHIEVEMENTS : CHAMPION WITH BOCA JUNIORS OF THE LOCAL TOURNAMENT , COPA LIBERTADORES TWICE, AND COPA INTERCONTINENTAL),
GOALKEEPERS COACH..

PERIOD: YEAR 2009 AND 2010.

SPORTING ACHIEVEMENTS.

TORNEO PROVINCIAL DE FUTBOL 2009 (WITH ARGENTINO PEÑAROL):

3RD POSITION.

SPECIAL MENTION OF THE FEDERACION CORDOBESA DE FÙTBOL AS BEST PHYSICAL TRAINING OF CÒRDOBA.

TORNEO PROVINCIAL DE FUTBOL 2010 (CON ARGENTINO PEÑAROL):

3RD POSITION.

- SPECIAL MENTION OF THE FEDERACION CORDOBESA DE FÙTBOL AS BEST PHYSICAL TRAINING OF CÒRDOBA.

SPECIAL CONSIDERATIONS.

SPECIAL NOTE: My technical team is currently composed of JoSÈ Marìa Suarez, who Serves as my ASSISTANT COACH now

MWANAMUZIKI PREZZO ALIVYOPOKELEWA KENYA BAADA YA KUTOKA BBA


CMB PREZZO ambae ni mshindi wa pili wa Big Brother Afrika 2012 akihojiwa na waandishi wa habari baada ya kutua kwenye uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta



Mama na mwana.

Operation Sangara yaingia wilaya ya Ulanga mkoa wa morogoro

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilibrod Slaa akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Mgeta katika jimbo la Kilombero mkoani Morogoro ikiwa ni sehemu ya mikutano ya operesheni Sangara.
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa akiongozana na viongozi mbali mbali wa chama hicho, walipokuwa wakivuka katika kivuko cha mto Kilombero wakitokea jimbo la Kilombero kuelekea jimbo la Ulanga Magharibi, katika mikutano ya Operesheni Sangara inayoendelea katika mkoa wa Morogoro. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa mkoa wa Tabora, Kansa Mbaruok.Picha na Joseph Senga

AJALI ILIYOUWA WANAKWAYA 11 WA KENYA MTO WAMI

Baadhi ya wakazi wa kitongoji cha Makole Mkoa wa Pwani wakiangalia ajali ya gari iliyotokea leo katika eneo la Mto Wami na kusababisha vifo vya watu 11 wote wakiwa raia wa Kenya.
Basi lililokuwa limewabeba raia wa Kenya waliokuwa wakielekea jijini Dar es salaam kwa ajili ya mikutano ya injili likiwa limetumbukia katika korongo jirani na Mto Wami na kuua watu 11 katika Kijiji cha Makole Mkoa wa Pwani.
Baadhi ya abiria walionusurika wakiwa katika eneo la tukio kabla ya kupata msaada.Picha Zote na Mdau Francis Dande
--
WATU 11 wanaoaminika kuwa raia wa Kenya wamefariki dunia papo hapo, huku wengine saba wakiwa mahututi baada ya mabasi waliyokuwa wakisafiria kutoka Nairobi kwenda Dar es Salaam kupata ajali katika Mto Wami mkoani Pwani.Mbali na vifo hivyo, ajali hiyo pia ilisababisha majeruhi 25 na saba kati yao waliripotiwa kuwa mahututi na walipelekwa katika Hospitali ya Tumbi, Kibaha kwa matibabu.
Ajali hiyo ilitokea katika Kijiji cha Makole, wilayani Bagamoyo wakati abiria hao ambao ni wanakwaya walipokuwa wakisafiri kutoka Kenya kwenda Dar es Salaam kushiriki katika tamasha la uimbaji.

Ajali hiyo ilitokea jana saa 11 alfajiri ikihusisha magari manne, mawili kati yake yakiwa ni mabasi hayo yakitokea Kenya na malori mawili ya hapa nchini.Tukio hilo pia lilifunga Barabara Kuu ya Chalinze - Segera kwa zaidi ya saa nane hivyo abiria waliokuwa wakisafiri kuelekea na kutoka mikoa ya Kaskazini ikiwamo nchi ya Kenya kwenda na kutoka Dar es Salaam kukwama.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Ernest Mangu alisema raia hao wa Kenya ni waumini wa Kikristo na walikuwa wakielekea Dar es Salaam kwenye tamasha la kwaya.

Ajali ilivyotokea
Mangu alisema awali, mabasi hayo yalikuwa yametokea Segera, huku yakiwa yameongozana na moja ilipofika eneo la Makole ghafla liliyumba na kupinduka kisha kutumbukia kwenye korongo.Alisema basi la pili lililokuwa likifuatia nyuma lilipita eneo hilo, lakini baada ya mita 500, dereva alipigiwa simu na mwenzake kuwa amepata ajali na wametumbukia korongoni hivyo ikawalazimu kugeuza kurudi nyuma ili wakawasaidie wenzao.

“Haikuwa rahisi kwa mtu ama gari kuliona haraka hivyo wenzao walipofika hapo nao walipita bila kujua kama kuna gari limeanguka, lakini muda mfupi tu dereva alipigiwa simu na mwenzake akimjulisha kuwa amepata ajali na wametumbukia mtaroni,” alisema Kamanda Mangu.

Alisema baada ya kugeuza na kurudi eneo la ajali, baadhi ya abiria walishuka ili kuwasaidia wenzao na wakati wakiwa kwenye harakati hizo, ghafla lilitokea lori ambalo lililiparamia basi la pili ambalo pia lilitumbukia kwenye korongo.

Kamanda huyo aliongeza kuwa, wakati basi hilo likigongwa, tayari lilikuwa limegeuzwa kuangalia uelekeo wa Chalinze na kwamba baadhi ya abiria walikuwamo ndani.
Alisema baada ya lori hilo kuligonga basi hilo, liliendelea mbele kwa kasi na kugongana uso kwa uso na lori jingine lililokuwa likitokea uelekeo wa Segera, hivyo kufunga barabara hiyo kwa zaidi ya nane.

“Kwa hiyo njia ilikuwa imefungwa kuanzia saa 11:00 alfajiri hadi saa 6:30 mchana baada ya askari wetu kufanikiwa kuyaondoa malori hayo kwenye barabara kuu na sasa (jana) safari zinaendelea kama kawaida,” alisema Mangu.

KIKOSI CHA WACHEZAJI NYOTA WA AIRTEL RISING STARS CHAENDA NAIROBI

Afisa Habari wa Kampuni ya Airtel Tanzania Jane Matinde(kushoto) akizungumza na waadishi wa habari wakati wa kutangaza kikosi cha timu ya soka cha Airtel Rising Stars kitakachoshiriki michuano ya Inter-continental yatakayofanyika Nairobi, Kenya mwezi huu. Amefuatana na na Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo Jackson Mmbando(kulia)
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Airtel Tanzania Jackson Mmbando(kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza kikosi cha timu ya Airtel Rising Stars kinachokwenda kushiriki michuano ya Inter-continental itakayofanyika Nairobi, Kenya baadaye mwezi huu. KAtikati ni Afisa Habari wa kampuni hiyo Jane Matinde na Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam(DRFA).
---
Airtel Tanzania kupitia mpango wake maalum wakuvumbua na kukuza vipaji vya soka nchini ujulikanao kama Airtel Rising Stars leo wametangaza kikosi cha wachezaji 16 watakaoiwakilisha Tanzania kwenye mashindano ya kimataifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel yatakayofanyika Nairobi kuanzia Agosti 19 hadi 25, 2012.

Wachezaji hao walichaguliwa na jopo la makocha kwa kushirikiana na shirikisho la mpira TFF na chama cha mpira cha Dar es Saalam DRFA wakati wa fainali za Taifa za Airtel Rising Stars zilizofanyika kwenye uwanja wa Kumbukumbu ya Karume jijini Dar es Salaam mwezi Juni na kushirikisha timu kutoka mikoa ya Lindi, Mbeya, Arusha, Ilala, Temeke na Kinondoni.

Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za TFF leo, Afisa Maendeleo wa mpira wa miguu nchini Salum Madadi aliwataja vijana watakaowakilisha Tanzania kuwa ni Denis Richard, Juma Hamza, Abdul Selemani, Ishaka Shekolowa na Bakari Ally kutoka mkoa wa kisoka wa Temeke.

Wengine ni Abdulatif Mohamed, George Joseph na Badilu Said (Lindi), Said Kassim, Amos Ikungula, Paul Balama na Goodluck Mabiku (Ilala), Joel Kasimula na Ibrahim Mtenga (Mbeya), Sntkony Angelo na Suleiman Yunus (Arusha).
Mashindano hayo yanayotarajiwa kuwa na ushindani mkali yatashirikisha wachezaji wengine nyota wa ARS kutoka nchi za Kenya, Uganda, Malawi, DRC, Congo Brazzaville, Nigeria, Ghana, Zambia, Niger, Gabon, Burkina Fasso, Sierra Leone, Chad, Madagascar na Tanzania.

Mkurugenzi wa mawasiliano wa Airtel Tanzania Beatrice Singano Mallya amesema kuwa lengo la mashindano hayo ya kimataifa ni kuwapa vijana fursa zaidi ya kuendeleza vipaji vyao na kupata uzoefu. "Vile vile Airtel Rising Stars inatoa nafasi kwa wanasoka hawa chipukizi kuweza kupanua jiografia yao na kujenga urafiki na vijana wenzao kutoka nchi mbali mbali", alisema Singano.

Michuano hiyo itafuatiwa na kliniki ya soka ya kimataifa ambayo pia itafanyika Nairobi chini ya walimu wa soka la vijana kutoka klabu maarufu duniani ya Manchester United ya Uingereza. Kliniki kama hii ilifanyika mwaka jana kwenye uwanja wa kisasa wa soka jijini Dar es Salaam na kushirikisha vijana kutoka Kenya, Malawi, Sierra Leone na wenyeji Tanzania.

Katika kliniki ya mwaka huu, Tanzania itawakilishwa na wachezaji sita miongoni mwao ni wavulana watatu na wasichana watatu ambao walioibuka kuwa wachezaji bora wakati wa fainali za Taifa jijini Dar es Salaam mwezi Juni.

Airtel Rising Stars ni mpango kabambe wa kuibua na kukuza vipaji vya wanasoka wanaochipukia barani Afrika. Walengwa ni wavulana na wasichana wenye umri chini ya miaka kumi na saba ambao watapata fursa ya pekee ya kuonyesha vipaji vyao mbele ya waatalum wa mpira wa miguu
wa kitaifa na kimataifa.

Popular Posts